In Summary
- Singer Marioo revealed how he failed to sign for WCB
- Diamond shocking reaction on Mario on joining WCB
Bongo musician Marioo has now revealed that at some moment he went to Diamond Platinumz to be signed by the WCB record label but he could join.
READ ALSO DIAMOND TO REMIX ‘YATAPITA’ WITH UPCOMING ARTISTS
In an interview with Tanzanian media the skilled song writer Marioo says he has been admiring WCB label and it reached a point of him making his case to WCB boss Diamond who turned it down.
There have been rumours that he refused to join WCB after search by Diamond who saw him as threat to his career.
ALSO READ DIAMOND AND HARMONIZE FAIL TO SHOW UP AT MARIOO’S SHOW
Diamond Platinumz tulishiriki naye kikao kwake nyumbani tuelezane kuhsu hili jambo,.Diamond ni mtu mzuri alinishauri kama alivyofikiria yeye lakini sio eti alinikataa. So mwacheni afanya mambo yake.Baadaa ya hiyo Bado tunazungumza mambo mengi hata nilimwalika katika uzinduzi wa almabumu yangu kwenye event yangu Milimani city.Lakini licha ya mimi kumwalika yeye alikua busy kwa sababu hata nikimwarifu aliniamba atakwepo akipata muda.Naheshimu uepo katika muziki wetu tushirikiane tuondoke huko jamani chuki sio mzuri tuondoke kabisa.Mara nyingi yeye hutuambia mwanangu unatupeleka mbio…Mimi nafurahia hiki..naamini.kuwa Diamond ni mtu mzuri Sanaa.
Singer Mario 21st March, 2023
Why Diamond Refused to Sign Marioo
Meanwhile Diamond Platimuz says he could not sign Mario because he is better placed without WCB .According to Diamond Marioo was already doing well and putting under a label like WCB would ruin various opportunities in his way. Diamond says his record label has business restrictions that could jolt Marioos’ dream.
Nataka kutoa story ambayo Watu hawajui kabla ya kuja nyumbani alikuja kwangu Marioo akitaka nimsaini ,skiza kilichomwambia Mario wewe nikikutazamaa unafanya vyema na una nafasi nzuri na hisi kama kukusaini sio kukutendea haki Kwa sababu, wewe tayari unafanya vizuri kwenye muziki,nikikusaini haitakuwa rahisi kufanya mambo mengine.Kuna shows siwezi kufika,yaani naona anakoelekea na muziki ni pazuri ..nilimwambia akitaka chochote ndugu yangu alinielewa kabisaa.
Diamond Platinumz
By Allan Otieno