Empress amemkuta huzzy akimpiga kuni twin sister wake
Kitui inasemekana mraia walikemba drama after ngeus alimpata huzzy wake akimnyandua twin sister wake
Ati mwende alikuwa anashuku mzae wa kwake anamcheza, sasa aliweka trap
Ati walitoka wote kama kawa kuishia mako kubuy mboga, but mzae akamtoka mama akamuenjoy anaenda baze kuchil na maarif lakini kumbe alienda kupona na mtasis.
Mwende alijua mzae wa kwake ni arif wa mtasis but hakujua anamchinjia chini ya waba
Huyo mtasis anaitwa Nthenya, na Manighbour wake wakaskia manduru wakadhani mjango anamvaa, kumbe ni nduru za kukwama juu ya kamote
Inasemekana walikuwa wanaskia uchungu design kuseparate ilibidi waite mwenye aliseti hio Kamote
Ndio reason Nthenya alikuwa ana scream kuita maneighbour watoe mjulubengs
Mwende alipelekwa na mtaratara majioni after riba ili spread mtaa mzima ati madoky wameshindwa kuseparate mtu mbexe wenye wamekwamana.
Alichachisha after kufika scene akidai kuna daktari alimjenga hio kamote ya kudeal na wasee wana cheat