Kenya's No 1 GhettoRadio

Gospel artist speaks of her 8 year dry spell

0 1,643

By Magi Kadzo

Gospel musician Justina Syokau says she has not had sex in eight years.

Speaking during an interview at a local radio station in Mombasa, the ‘twendi twendi wani’ singer said she is looking for a man who will invest in her music, family, children and strong in bed.

Nguvu ya kitandani ni muhimu, kuna watu wanajifanya wako mbinguni. Hapa duniani kama ni gidhaa ni gidhaa, kama ni sex ni sex. Unajua kuna watu ambao unakuta uko nayeye ni ndugu na amefast. Yaani amefast mwezi mzima hupati hii vitu. Uko na ndugu hapo yaani hata hajikokoti kwa sababu yako. You need somebody who is there for you that side, because hata sahii nimekaa nje eight years so dryspell iko juu hallelujah!”

Syokau said it is important for couples to be intimate with each other and ensure their partners are satisfied. Even for gospel artists.

Wale ambao wanaskiza ni vizuri sana hizo vitu zihalalishwe, wale wako na ndoa halalisha hii mambo ya bedroom, pea mpenzi vizuri muache kujifanya. Nikiongea vitu kama hizi wananitroll, mimi nashindwa kwani hawataki hizi vitu zihalalishwe vizuri, wahalalishe hizi vitu vizuri.

Comments
Loading...

This website uses cookies to improve your experience. We'll assume you're ok with this, but you can opt-out if you wish. Accept Read More