Mtu utat wamechargiwa na kupanda nguai Nax wamekwara ku take plea kwa mbwenya.
Victor Kungu na sons wake, Broddus Wainaina na Dennis Matete, walibanja na jajiko Josephat Kalo kupitia video link.
Kungu alisho kotiko yeye ni representative wa Community Based Oganisation, yaani CBO, na job yake ni ku manufacture ‘medicinal substances’.
Alidai hio CBO mbogi ni biggy, na hawezi jibu on behalf ya mabazuu.
Kungu alizidi kubanja hata akikatazwa, alidai hio CBO, iko registered kama NKU/W/DSS/CBO/053, under the East African Community Labour and Social Protection.
Alisanukia DCI juu walikatsia mpango za hio CBO, na wame destroy evidence ya ku prove legality yake after waliraid kwake on Friday.
Ati wako 16 organizations, na initiative yao ni juu ya health.
Kazi yao ni kupanda miti na Cannabis, alafu baaden wana export medicinal substances kwa ma factories mayolo.
Ma sons wake hata hawakuroroa, fathela ndio alikua kama lawyer.
Kungu ana accuse gava wali raid quarter acre yake yenye iko London, Nax, na kudestroy hadi members list na documents za ngive.
Walipatwa wame panda kilo soo ngovo na sixty za marijuana zenye value ni mita 15.2
Watabaki nditni Nakuru Central Police Station.