Kenya's No 1 GhettoRadio

Prison break ime happen Vihiga

0 1,316

Mambang’a Vihiga wameanzisha msako ya mnetty nane wenye waling’ada zangaro.

Kwa hio prison break ili happen leo ngware, walimlemea sanse alikua ameenda kuwa serve brekko ndio wakatoka kehuti, lakini mjamo alibambwa.

Sanse anaitwa Isaac Okedi ndio alikua anawagee brekko na alikua solo.

Ripoti ime filliwa kwa stenje Serem inadai walimganda kiasi.

Wenye walikacha ni Carlson Jiseve mwenye alibambwa juu ya assault, Kevin Mujivani juu ya kudingo, Nelson Simba juu ya kudefile minor, Clinton Vidolo juu ya kupinji, Hillary Pasaka juu ya kudefile minor, Emmanuel Shirisia juu ya assault, Denis Marava na Maurice Taabu juu ya grievous harm.

Taabu ndio alibambwa aking’ada.

Kuna sanse alijipiga kwa mguu ridhee by mistake wakifuata wenye walikua wanahepa, lakini akakimbizwa Friends hospital Kaimosi.

Hao wengine nane bado wanasakanywa.

Comments
Loading...

This website uses cookies to improve your experience. We'll assume you're ok with this, but you can opt-out if you wish. Accept Read More