Kenya's No 1 GhettoRadio

Rapper Prezzo explains why he is not settling down just Yet

0 1,006

Veteran rapper Jackson Makini popularly known as Prezzo has revealed that he is not about to settle down any time soon.

Speaking in a recent interview on Mseto East Africa, Prezzo said he is yet to find anyone who understands his way of life.

He said that most women think he is a show off but it is just a lifestyle God gave him.

“Tatizo ambalo ninalo ni kwamba watu ambao nakutanaga nao hawakuji kunielewa Maisha yang una hawapati kunielewa kwa sababu kusema ukweli si kwamba najigamba au nini Maisha ninayoishi si ya kawaida, kwa hio mwanamke asipokuwa mvumilivu au kunielewa then hatutoweza kupatana kwa sababu ya Maisha ambayo mungu alinipa. Ombi langu huwa ni kwamba nikutane na mtu atakayeelewa huyu Maisha yake si ya kawaida, nitamvumilia alivyo, nitamsitiri na nitampa support. Kama hauna amani nyumbani then akili yako haiwezi kufanya kazi,” He said

Prezzo also refuted claims that he dated Tanzanian socialite Amber Lulu adding that they are just good friends.

“Unajua mimi ni mtu mmoja mkarimu sana so mimi ni mtu ambaye napendeka so unakuta labda mtu ni Rafiki yangu lakini mapenzi anayoonesha mtu anakuwa na maswali kwamba kuna uhusiano gani unaendela hapa, but kiukweli hamna uhusiano wowote ni ile tu mimi ni mcheshi and you know I’m a pretty cool guy myself. Sio issue na mapenzi,” said Prezzo

Comments
Loading...

This website uses cookies to improve your experience. We'll assume you're ok with this, but you can opt-out if you wish. Accept Read More