Tanzanian Rapper Hamis Mwinjuma popularly known as MwanaFA has tested positive for COVID-19.
The singer took to social media to reveal that he has been in self-isolation for the past few days following his recent trip to South Africa.
He added that he was tested on arrival and that the results came back positive.
“Ndugu. Majibu ya vipimo vyangu vya Covid 19 yamerudi chanya. Inaudhi. Siumwi KABISA. Nipo sawa 100%. Na nimejitenga toka niliporudi ili kuepuka kuathiri wengine. Na kwa bahati hata watoto wangu sijakutana nao kabisa. Hawapo nyumbani. Nawaomba tu tuchukue tahadhari kwa kadri ya uwezo wetu kukwepa usitupate na hata tukipatwa nao sio tatizo la kivile hata,virusi wake wanaondoka wenyewe baada ya siku kadhaa tu. So yah,sisi wa nchi hizi tulioandamwa na migonjwa mikubwa mikubwa katika kukua kwetu,haya ‘mafua’ wala sio kitu cha kututisha. ITAKUWA TU SAWA. Tuweni na amani tu mioyoni”
His announcement came just hours after the Tanzanian government issued a statement on two new cases of Coronavirus in the country.
“Mwanaume,Mtanzania mwenye umri wa miaka 40 ambaye alisafiri Afrika ya Kusini kati ya tarehe 14 machi 2020 hadi tarehe 16 machi 2020 na kurejea nchini usiku wa tarehe 17 Machi 20202” read part of the statement