Kenya's No 1 GhettoRadio

Watoi wamefyat after kusanya nduma

0 864

Wasee Gichugu Constituency yenye iko Kirinyaga County walishangaa sana after kukemba familia ya mtu nane kuanza kuimba na nguvu juu ya dumba

Mthama wao, Susan Wangari, anadai wajuniour wake, kati ya 12 years hadi miaka salasa, walianza kuimba mawimbo after kudimbua nduma walikuwa wamesanya

Hio familia ni wagithomo, na inasemekana mjamo aliseti turban yake nare after ziliwararu

Ni neighbour wao, Bundi Muthike, alirealise design kumechiek after kuwakemba wakiimba kwa mvua njei ya home yao

Design walikuwa wamefyat ilishangaza sana, mokoro wao kuwauliza which fom which vako, walianza kumganda

Walimkuta beating seious, ni maneighbour walimuok na kumkimbiza Kerugoya hosi penye ame admitiwa.

Hio ngori isha ripotiwa stenje iko Difathas.

Ilibidi wametingwa na Kamba ndio wabebwe kwa pick up

Mbexe walitoka kihuti, hao wengine wako saa hii hosi

Comments
Loading...

This website uses cookies to improve your experience. We'll assume you're ok with this, but you can opt-out if you wish. Accept Read More