In Summary

  • Family of the late Dedan Kimathi Demands exhumation of Kimathi body from Kamiti Prison.
  • The family Insist they will NOT burry Mukami Kimathi without Kimathis’ body.

Just  days  after the passing on of the Maumau freedom fighter  Mukami Kimathi wife to the late Maumau leader Dedan Kimathi, the  family is now demanding that the body of Kimathi be exhumed from Kamiti Maximum Security  Prison  and be given a dignified burial together with Mukami at their home in Njabini Kinangop Nyandarua county.

Speaking to Ghetto Radio News Kimathis’ Daughter Evelyn Kimathi says that this is their last appeal to the government and that the family will not accept Mukamis’ burial without the body of Deden Kimathi.

He says her father was not a criminal and that the most honourable thing is to exhume his body and be brought back to Nyandarua for a fresh dignified burial.

My word to the president is get us Kimathi remains from Kamiti Maximum Prison tusike Kimathi Kwa heshima ambayo inafaa.Ama tungeulizwa tuwazike pamoja…Kimathi Azikwe hapa Mama pia Azikwe hapa hiyo ndio ombi letu tafadhali yeye sio jangili aletwa Azikwe na Kwa heshima na serikali ama familia hio ndio langu.

Kimathis’ Daughter Evelyn Mukami

Mukami Kimathi and Maumau

Evelyn however, praised her deceased  mother as someone who devoted her life in the fight for freedom  in this country and she too deserve state recognition as fighter of what we enjoy today.

Wakati wa vita ya Maumau si ati wamama walikuwa wanapika tu peke yake walikua wanaoshiriki pia Ile direct combat kupitia makundi vile Kabatoni ambayo ilikua ni kokosi ya Kinamama Kwa vita.walikua wanaface the colonialist wamama pia walikua wanaoshiriki kule Maumau Hospital msituni majeruhi wakiletwa wanawatunza huko Kwa hospitali na pia mama pia walikua wanashiriki military intelligence na mama kama Mrs Dedan Kimathi alikua anaongoza kupeana military intelligence she was one of the leading group ya kupeana hizo intelligence wanazipeleka msituni mpaka Kwa villages zote.Usiku walikua wanaenda pahali Kwa hao wazungu wanajienjiy lakini wanaingia Kwa hizo armery wanachukua na kuletea Watu wetu kule msituni.

Evelyn Kimathi

By Allan Otieno

Written by:

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X
  • http://node-04.zeno.fm/eghcv7h647zuv.aac?rj-ttl=5&rj-tok=AAABduHWWTYATEPfmLjdZktzzA
  • GhettoRadio 89.5FM
  • Radio