Why Tanzania’s Ray C is Moving To Court (Pics)
Tanzania’s veteran songstress,one Ray C is unhappy and threatening to sue a local newspaper over malicious publishing.
Ray C’s long battle with drugs is nothing new as it slowed down her music career greatly despite her strong will to come out.
The songstress,who just lost a whooping 30-Kg weight the other day,reclaiming her old body is disturbed by a local gossip paper that claims she is back on drugs further claiming they got detail of her new ‘Drug Den’.
Over,reaching Ray C…this is what the “Songea Songea” hit maker wrote raging in anger;
“Seriously kwa kweli huwa naumia sana sana kuona binadamu mwezangu anadiriki kuniharibia jina langu ili yeye apate kula!. Hamjui mnaniathiri kiasi gani na hizi habari zenu?. Hivi unadirikije kuandika ‘usengwile’ kama huu bila hata aibu wala picha ya kuisapoti hiyo habari yani ni ujinga ujinga tu umeunganishwa na picha yangu bila hata uoga mmeichukua kutoka kwenye page yangu ya insta basi tayari mmeshapata story ili mradi tu mniharibie maisha yangu ili nyie mpate pesa mi nife maskini!!!.
Kama kweli mnauhakika na mlichoandika kwanini hamkuweka picha yangu nikivuta hayo maunga badala yake mnaweka picha ya kituo cha mkunguni ambapo madaladala husimamisha kituoni hapo. Mmepiga picha ya kituo cha mkunguni mkaona haitoshi mkaingia kwenye page yangu ya insta na kuchukua picha yangu niliojipiga mwenyewe ndio mnazitumia kunichafulia jina langu tena wakati ndio kwanza nahangaika kurudi tena kwenye kazi yangu.
Haki ya mungu sijawahi kusikia hata siku moja nyie global mmeandika kuhuau foundation yangu na mambo mazuri iliofanya japo mnajua kama mpaka sasa nimeshatoa vijana zaidi ya sabini kwenye madawa na wako fit wanatumia methadone je mnajua hilo?. Hata siju moja sikawahi pata msaada wowote kutoka kwenu japo kunichangia nauli tu ya kuja kwenye dawa kila siku hakuna hata anaenisaidia huu mwaka wa tatu bado naendelea kunywa dawa na ni kila siku ya mungu siku saba kwa wiki hakuna sikukuu wala msiba na ukikosa mwili unauma vibaya sana yani it’s not easy but am a f*** hard working woman na ni mwanamke jasiri napambana na siogopi kujaribu,naparangana na haya madawa na nayapinga na kamwe sintorudi nyuma na hizi nuksi mzipeleke kwenye familia zenu, wewe shigongo unamkosea sana mungu!. Unajifanya mlokole lakini kazi yako ni kuharibia maisha ya wenzio unasahau kuwa malipo ni hapahapa duniani!. Mimi ni kapuku tu sina mbele wala nyuma mbele yako lakini bado unanichimbia kaburi angali mi mzima. Na wewe?
Mayasa Marwata ni mpuuzi usie jua kazi yako!. Nimeisoma stori yako nimegundua ni mvivu wa kufatilia habari! eti chimbo la unga langu lajulikana sasa kama ushalijua mbona haukunipiga nikivuta huo unga unaenda kupiga picha kituo cha daladala bwege we!
Ntapambana na nyie MAHAKAMANI,” read the long post on her Instagram account.
Despite threatening suing them,Ray C further challenges the newspaper to try and see the good things she has done. She mentions helping over 70 drug addicts fight the condition. She further challenges the newspaper that for sure what they said had any bit of truth in it,why didn’t they capture her in the act? Instead of using a matatu station photo as her “Chimbo La Dawa Za Kulevya”!!
Check out;
MUKAMI KANYI