Kenya's No 1 GhettoRadio

Yut amefikishwa mbwenya juu hajadunga tifi mask

0 1,043

Kuna yut amedunga jersey ya Arsenali ame fainiwa kwa mbwenya juu ya ku break rules za rona.

Justus Musila alifikishwa mbele ya kotiko na maarif wake Kibera jana na walichargiwa makosa ikiwa hawakudunga mask vibien.

Fine ilikua punch kila mjamo.

Alitrend kwa social media wasee wakidai labda ni hio jersey ndio swara.

Wengine wali accusiwa walipanda mat iko chuma, hao fine ilikua kati ya miti jamo hadi utat, ukikosa ni kudoze nditni miezi utat.

ALSO READ; https://ghettoradio.co.ke/priest-wa-catho-amewapiga-mboko-madingo/

Walibamwba route ya Langata na Waiyaki Way.

Wengine wenye walibambwa, walikua kwa rotejo wamemokre, hakuna social distance.

WATCH; https://www.youtube.com/watch?v=II-eobBgU3w

Comments
Loading...

This website uses cookies to improve your experience. We'll assume you're ok with this, but you can opt-out if you wish. Accept Read More