Kuna yutman mwenye ni 19 years jana alihepa cell stenje ya Buraj yenye iko Tana River, after alimpaka sanse alikuwa ana mann stenje na shonde.
Abdul Awath alimpaka siang’a Police Constable Anthony Wanjau jana ngware alafu baaden akakacha.
Alikua amedai kuenda kukata weight kwa toile, akiwa huko ndani alikawia sasa huyo sanse akagonga kuuliza kunaenda aje.
Jama kutingua doe, alimpaka shonde alikua amebieo kwa chupa.
Alimpaka kaa yote hadi ni kama ingine huyo sanse alimeza, sasa akimwaura ndio huyo yut akaget chance ya kung’ada.
Huyo yut alikua ame chargiwa na assault na alikua anafaa kufikishwa mbwenya on Dec tarehe kinde.