By Nicanory Muhando

Kuna yutman mwenye ni 17-years Nigeria ako nditni, alibambwa na Rivers State Police Command juu aliwajaza dumbo madenge kinde.

Huskii Noble Uzuchi alibambwa kijamo na suspects nnei na mambaru wame rescue hao madenge das.

Kulingana na paper ya Nigeria inaitwa PUNCH, hao mambaru wali uncover hio baby factory operation mtaa inaitwa Obio/Akpor.

Huyo yut kijamo na morio ako 29-years, Chigozie Ogbonna, walipewa hio mboka na  na syndicate kuwajaza hao madem kwa kitu inaitwa marathon sex.

Bazu wa hio syndicate, Peace Alikoi ni 40 years, alikua anapanga ku keep hao watoi  na kukanja hao madem kappa 138 wagawane.

Hao madem walikuwa wametimngiwa kwa makeja mbexe ziko Igwuruta na Omagwa.

Superintendent of Police, Grace Iringe-Koko, anadai hio mboka ni child trafficking.

Ati hao madenge waliingizwa key juu wanadai munde.

Investigations zinafanywa kusakanya wasee wenye wamebuy hao watoi, juu zishapigwa ndonyo kabla hawajazaliwa.

January 16, 2023

Written by:

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X
  • http://node-04.zeno.fm/eghcv7h647zuv.aac?rj-ttl=5&rj-tok=AAABduHWWTYATEPfmLjdZktzzA
  • GhettoRadio 89.5FM
  • Radio