Kuna yutman Spain ame fungwa miaka 15 na miezi ngovo zangaro juu alimnyuria mokoro wake alafu akadimbua body yake mgodo mgodo kama nyagu, kwa apartment yao Madrid.
Alberto Sanchez Gomez alimnyuria mthama wake, alafu aka katakata body yake na kuzistack kwa mapaper bags, alafu akazidimbua hio nyagu kwa wiki mbexe na ilikua 2019.
Kotiko ilichapiwa yutman ako na miaka 28 na alibambwa Feb 2019, na mokoro wake aliitwa Maria Soledad Gomez.
Sanchez ame sentenciwa miaka 15 nditni juu ya kumnyuria matha wake, alafu miezi ngovo juu ya kudimbua hio maiti.
Alafu anafaa kumkanja kibronje wake $ 73,000 kama compensation.
Huyo yut ni mbeteka, alimchinja matha wake na kugawa pieces akitumia power saw, akazisunda kwa freezer ya njifri, sasa ilikua kumochoa tu pieces masiku 15 akizikaranga na spices ajibambe.